Kiungo
Mshambuliaji Wa Manchester City Kevin De Bruyne Amefunguka Na Kusema Kuwa Mama
Yake Alizaliwa Barani Afrika Nchini Burundi Lakini Alipofikisha Umri Wa Miaka
Saba Aliondoka Na Babu Yake Kwenda Nchini England Kwaajili Ya Masomo.
Lakini Pia Mama Yake Huyo Anayejulikana Kwa Jina La Anna De Bruyne Ameishi Nchini Ivory Coast , De Bruyne Mwenyewe Amezaliwa Katika Mji Wa Drongen, Ghent Huko Nchini Ubelgiji Belgium.
De Bruyne
Anazungumza Kiholanzi, Kifaransa, Kijerumani
Na Kiingereza, Katika Mahojiano Ya Mwaka
2013, De Bruyne Alisema: "Mama Yangu Ana Asili Ya Kiingereza , Lakini Mimi Ni Mbelgiji Kikamilifu." Kutoka Mjini Drongen, Sehemu Ya Kiholanzi Inayozungumza Kibelgiji.
Mbelgiji
Huyo Anashikilia Rekodi Ya Kuwa Mchezaji Aliyetoa Pasi Nyingi Za Magoli Tangu
Alipojiunga Na Manchester City Na Kuanza Kuitumikia Timu Hiyo September 2015 Akiwa
Na Assist 33 Nafasi Ya Pili Ikishikiliwa Na Kiungo Wa Spurs Christian Eriksen
Mwenye Assist 29 Sawa Na Mesuit Ozil Wa Arsenal Mwenye Assist 29 David Silva Wa
Manchester City Mwenye Assist 20 Sawa Na Cesc Fabregas Wa Chelsea Mwenye Assist
20 Kwenye Ligi Ya England Na Msimu Huu
Wa 2017/2018 Ameshatoa Pasi 6 Za Magoli Katika Michezo 10 Na Kufunga Goli 1.
Kuhusu Uchezaji
Wake Ndani Ya Uwanja De Bruyne Anasema Anapenda Kucheza Katika Nafasi Ya
Anayocheza Hivi Sasa Manchester City Namba 10 Akiwa Na Kiungo Wa Kihispania
David Silva Na Anajifunza Vitu Vingi Sana Kutoka Kwake Kwani Silva Ni Mchezaji
Aliyekamilika Na Anauwezo Mkubwa Sana.
Akizungumza na Mwandishi wa Sportsmail Jamie
Redknapp , De Bruyne Amesema ' Tangu Niungane Na
Pep Guardiola Naona Nacheza Aina Ya Mpira Ninaoupenda Na Hii Ni
Aina Ya Mpira Ambao Unapendwa Na Wachezaji Wote , Kila Mmoja Anakaa
Kwenye Nafasi Yake Na Inakuwa Rahisi Kuifanya Timu Icheze Kama Ambavyo
Tunafanya , Kufunga Magoli ni Vizuri Lakini Kutoa Pasi za Magoli ni Kitu Bora Zaidi Kwangu '.



No comments:
Post a Comment